This year sikuweza kwenda holiday nilikua niko hoi na ujauzito wa Malaika. Amani and daddy walienda peke yao bila mimi. Huko Thailand walijumuika na our family iliyokua imetokea Australia. My Amani alikua ana mwaka na miezi mitano tu, ila kwa sababu ameshazoea kusafiri hakusumbua kabisa.
Safiri na Zawadi
We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it.Ok