Dar es Salaam, Feb.2011

Double Tree Hilton Hotel

 

Safari hii niliamua kwenda kupumzika kidogo peke yangu. Nilipata nafasi nzuri ya kukaa na mdogo wangu this time pia nilipata nafasi ya kumpeleka mdogo wangu wa mwisho kwenda kuangalia kaburi la mama huko Dodoma, kitu ambacho najivunia sana maana baada ya kufika na kuliona roho yangu ilisuhuzika mno nadhani huko aliko anasmile.

 

One thought on “Dar es Salaam, Feb.2011”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *