At Clara & Nicas place. Amani & Malaika with family Adili, Shakwana, Shanira & Asante
With Bella at wedding ceremony
With Farida & Bella
With Bella at Mange's wedding reception Kempinski Hotel
With Farida
With Neema and her sister
With Sumai
With Killy & Aisha
With Jack & Killy
At reception party Kempinski Hotel
With Bride & Groom
Amani & Malaika with dada Flora at Mlimani City Mall
With my kids
With Amani & Malaika at Mlimani City Mall
Kwa kusema ukweli pamoja na kusafiri nchi mbali mbali duniani siku ambayo najijua nakwenda Dar es Salaam huwa nakuwa na furaha tele maana kuna kitu ambacho huwa najisikia ambacho si cha kawaida ni furaha ilioje pale napoanza kutua kwenye kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere huwa napata raha ya ajabu kuwa I’m home now. Kweli naamini usemi usemao nenda West or East Nyumbani ni Nyumbani.
At the Mwalimu Julius Nyerere Airport with Billy, baby Malaika, Stella & Bobby
Mambo ya msosi at Obuya's place. Bongo na misosi inanimaliza kabisa
My younger brother Obuya
At Obuya's place
At Obuya place
Baby Sis Tina ujaacha asili yako, msosi kwanza ehe!
With baby Malaika & Amani outside Sea Cliff
With Stella & Marina at Sea Cliff
Stella, baby Malaika, Amani & Bobby at Kenny's house
At Slipway with baby Malaika
Night out with Stella
Night out with Stella
at Slipway with my family
Baby Malaika with aunt Judy on the boat to Bongoyo Island
On the boat to Bongoyo Island, Billy, Amani, Bobby & Hubby
On the boat to Bongoyo Island
Going to Bongoyo Island
With hubby, going out for dinner
With Halima at Leaders Club Miss TZ 2008
Amani & baby Malaika at Kipepeo Village beach
Sameera birthday party at Kipepeo Village, Kigamboni
Malaika with friend
Kenny's place
Kenny, baby Malaika & her friend
Sasha's birthday party. Amani & Sasha
Holiday ya kipindi hiki pekee ndio nilipata nafasi ya kukaa kwa muda mrefu nyumbani karibu miezi miwili hivi. Nakumbuka tangu niondoke Dar mwanzo wa mwaka 2002 sijawahi kurudi nyumbani na kukaa zaidi ya wiki 2, kipindi hiki kilikua so special kwangu niliweza fanya mambo mengi ambayo niko proud nayo. Pia niliweza kuwaleta Amani na Malaika kuja kuwatembelea ndugu zao wa huku na familia yangu kupata nafasi ya kuwaona watoto wao. Kitu kingine cha kupendeza ni dada zake Amani & Malaika walipata nafasi ya kuja tembelea Tanzania kwa mara ya kwanza wakitokea Australia. Kila mtu alikua happy kwa kweli….