Category Archives: Tanzania

One Week In Dar es Salaam, Tanzania. July 2013, Part II

 

@ Karambezi Sea Cliff hotel
@ Karambezi Sea Cliff hotel

 

Nilifurahi sana kukutana na marafiki zangu wapya Jessie & Irene ambao tumekua tunawasiliana muda mrefu atimae tulipata nafasi ya kukutana uso kwa uso nilifurahije sasa, asante sana lovely ladies. Pia nafurahi kupata muda angalau kukaa na wadogo zangu Celine, Tina, Scolar, Flora. Asanteni kwa muda wenu mlionipa pamoja na vicheko tulivyocheka…hahahaaa…mnakumbuka dada wa reverse pale kivukoni? lol! yaani hapa nacheka kweli bongo darisalama panapendenza lol. Uncle Festo asante sana kwa kuja kukutana nami yaani nilifurahije sasa uncle wangu, asante kwa kila kitu :)

Siku saba si nyingi kwa kweli kwa bongo yaani nilitamani niendelee kukaa zaidi kweli nyumbani ni nyumbani huwa siichoki Dar es Salaam yetu. Celine Victor mdogo wangu karibu sana maisafari <3  :)

One Week In Dar es Salaam, Tanzania. July 2013, Part I

Grand Hyatt Kilimanjaro hotel
@Grand Hyatt Kilimanjaro hotel with Jessie and Sasha

 

Jamani nyumbani ni nyumbani kwa kweli, kila mara nikijikuta napanda ndege ya kuelekea Dar nakua na furaha ya ajabu. Nashukuru sana kukutana na rafiki yangu Jessie pamoja na mrembo wake Sasha ambao nao walikua Bongo kwa ajili ya holiday pia kukutana na mrembo wangu mwingine Thanya, nilifurahije sasa :)

Bila kusahau wadogo zangu Scola, Christina na Flora asanteni sana kwa kunitafuta ingawa muda niliokua nao ulikua ni mdogo sana lakini nilifurahi sana. Nawapenda sana wadogo zangu, xoxo. Scola karibu sana Maisafari lol!

One Night Stay @Kilimanjaro Hyatt Regency Hotel Dar, Tanzania. Oct 2012

Mama Amika! More kgs after 3weeks, bongo kiboko lol!

 

This was my last night in Dar es Salaam and since the next day was my birthday, what a treat it was to wake up in a lovely hotel like this.  Too bad I checked in late though after spending almost 6 hours at the hair salon. I couldn’t leave the salon any earlier though because it was my last day and I needed my hair to be done. After the salon I rushed to get to the hotel, and guess what? Somehow I forgot my purse at the salon! Yikes! So after checking in I had to rush all the way back to Mwenge to pick it up. By the time I got back to the hotel it was quite late, so I just took a few photos around the hotel before heading off to bed. It was so relaxing. I fell asleep dreaming of seeing my wonderful husband soon :))

My 1st Week In Bongo Tanzania, Sept-Oct. 2012

Just arrived @JK Nyerere International Airport, Dar

 

Was lovely to arrived safe in Dar, I’ve been travelling a lot around the world but there’s increadible feelings I always get as soon as I land in Bongo. It is amazing!  I think I agree with the saying “Go East or West but home is the best”. From the airport I went straight to the saloon because my hair needed big help! The next day was Sunday and after I took my wadogo for brunch at the Hyatt Regency we went  to Rudy’s farm for some nyama chomas. Oh my It was delicious :))))

Photo Album 2001

Awwww…I love myself here lol! Beach Comber Hotel Dar es Salaam 2001

 

OMG! I want this body back :)))))))

 

Photo Album 1998-2000

Kigoma 2000, good memories!

 

Good memories indeed!!!! :)))))))

 

Dar es Salaam Mar 2012

At Kunduchi Beach Hotel

 

 

Dar es Salaam, Tanzania. Mar 2012

With my Flora

 

Lushoto, Tanzania. Mar 2012, Part 3

Lushoto waterfall

 

You can’t believe this is Tanzania, yes ni Lushoto hiyo. Hii waterfall utaiona kwa mbali ukishaanza ingia tu kwenye mji wa Lushoto, sisi tuliamua kupatembelea siku yetu ya mwisho ambayo tulikua ndio tumeanza safari yetu ya kurudi Bongo. Kinachosikitisha ni kwamba eneo hili ni nzuri sana ila sijui serikali imelisahau maana wangepatengeneza vizuri na kuvutia watalii wengi tu na kuweza kuongezea kipato. Kwenye sehemu ya kuingilia eneo hili ambapo ndio unalipia shs. 2,000 kuweza kutelemka chini hali yake ni mbaya sana nilijaribu kwenda chooni kujisaidia mbona niliishia mlango ni pachafu ujawahi kuona. Inaonyesha ilikua ni hotel zamani sasa hivi pamekua kama gofu tu na linatumika kama vile sehemu ya kufundishia au sijui nini. Jamani eneo hili ni zuri sana kama wangeweza kujenga hotel nzuri tu au restaurant nzuri wangewavutia watalii wengi sana. Nikilinganisha na nchi nyingine nyingi ambazo nimepitia, kuna tofauti kubwa sana maana wenzetu wametupita sana na maswala ya utalii. Huku tukiwa na sehemu nzuri na nyingi ambazo zinavutia, nchi yetu inatakiwa kuamka na kuendeleza sehemu kama hizi na kukuza sekta hii ya utalii maana hakika nchi yetu ni nzuri na ya kuvutia.

 

Lushoto, Tanzania. Mar 2012, Part 2

Lushoto

 

Next day tuliamua kufanya tour kidogo around Lushoto na kujionea uzuri wa wilaya hii kunapendeza sana. Tulipata nafasi ya kutembelea Lushoto view hotel ambayo iko sehemu nzuri ila nilisikitika jinsi walivyoijenga na kuziba view ambayo ndio ingependezesha sana eneo hilo ambayo ni ya aina yake. Walitakiwa kuacha eneo kubwa wazi hata mtu akikaa restaurant aweze kuenjoy beautiful view lakini ukiwa ndani uwezi ona chochote kutokana na ujenzi walioufanya. Nilifurahia uamazi niliyofanya wa sisi kukaa Swiss Farm cottage ambapo kuna character ya aina yake ya kipekee ambapo kwangu mimi ni sifa kubwa sana kwa kuifanya sehemu kuwa nzuri zaidi.