One Week In Dar es Salaam, Tanzania. July 2013, Part I

Grand Hyatt Kilimanjaro hotel
@Grand Hyatt Kilimanjaro hotel with Jessie and Sasha

 

Jamani nyumbani ni nyumbani kwa kweli, kila mara nikijikuta napanda ndege ya kuelekea Dar nakua na furaha ya ajabu. Nashukuru sana kukutana na rafiki yangu Jessie pamoja na mrembo wake Sasha ambao nao walikua Bongo kwa ajili ya holiday pia kukutana na mrembo wangu mwingine Thanya, nilifurahije sasa :)

Bila kusahau wadogo zangu Scola, Christina na Flora asanteni sana kwa kunitafuta ingawa muda niliokua nao ulikua ni mdogo sana lakini nilifurahi sana. Nawapenda sana wadogo zangu, xoxo. Scola karibu sana Maisafari lol!

4 thoughts on “One Week In Dar es Salaam, Tanzania. July 2013, Part I”

  1. najuta kwa nini nilichelewa kufika dc day kigamboni nimemiss kuwepo ktk picha ningejua ningetoroka church that day coz golden chance does never come twice jamaniiiiiii

Leave a Reply to Zawadi Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *