Dar es Salaam, 2009

At Giraffe Hotel, Mange’s kitchen party

 

Kwa kusema ukweli pamoja na kusafiri nchi mbali mbali duniani siku ambayo najijua nakwenda Dar es Salaam huwa nakuwa na furaha tele maana kuna kitu ambacho huwa najisikia ambacho si cha kawaida ni furaha ilioje pale napoanza kutua kwenye kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere huwa napata raha ya ajabu kuwa I’m home now. Kweli naamini usemi usemao nenda West or East Nyumbani ni Nyumbani.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *