Dinner at Al Mahala Restaurant, Burj Al Arab hotel Dubai 2014

With hubby
With hubby

Our anniversary dinner tulikula hapa na kusema ukweli ni pazuri sana. Kama wanavyosema wenyewe ni 7 Star hotel ambapo iko pekee duniani sijui ni kweli au la, ila nachoweza sema sijaona hotel kama hii na huduma yao ni super. Restaurant ikiwa imezungukwa na aquarium kubwa yenye samaki wa kila aina inapendeza sana. Tuliweza kumuona Mr. George ambaye amekuwepo hapa toka hoteli ilivyofunguliwa. By the way Mr. George ni samaki lol! Ukiangalia kwenye picha yuko mkubwa hivi ambae ana sura ya tofauti. Baada ya dinner walitupa another cake ya kutuwish ikiwa ni cake ya pili toka tuwasili kwenye hii hotel and was supper yummy :)

 

2 thoughts on “Dinner at Al Mahala Restaurant, Burj Al Arab hotel Dubai 2014”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *