After dinner at Burj Al Arab hotel Dubai-Celebrating our 10th wedding anniversary 2014

mama Amika
mama Amika

Baada ya dinner tukaamua kuzunguka na kuenjoy view ya hotel. Kama nilivyosema kabla hii hotel ni nzuri sana kila sehemu ukiangalia ni ya kipekee inanukia gold :) Picha zinaongea zaidi maana siwezi hata kuelezea, amazing!

Dinner at Al Mahala Restaurant, Burj Al Arab hotel Dubai 2014

With hubby
With hubby

Our anniversary dinner tulikula hapa na kusema ukweli ni pazuri sana. Kama wanavyosema wenyewe ni 7 Star hotel ambapo iko pekee duniani sijui ni kweli au la, ila nachoweza sema sijaona hotel kama hii na huduma yao ni super. Restaurant ikiwa imezungukwa na aquarium kubwa yenye samaki wa kila aina inapendeza sana. Tuliweza kumuona Mr. George ambaye amekuwepo hapa toka hoteli ilivyofunguliwa. By the way Mr. George ni samaki lol! Ukiangalia kwenye picha yuko mkubwa hivi ambae ana sura ya tofauti. Baada ya dinner walitupa another cake ya kutuwish ikiwa ni cake ya pili toka tuwasili kwenye hii hotel and was supper yummy :)

 

At Burj Al Arab hotel-Celebrate our 10th wedding anniversary-2014

Thanks to Burj Al Arab for the cake, was very yummy
Thanks to Burj Al Arab for the cake, was very yummy

This story began 13 years ago when young woman sat down and prayed hard to her Lord Jesus. She was ready to settle down and asked Him to sent her a good hearted man, who was serious to come marry her, not just someone playing around. The Lord heard her prayer and soon after He sent her this man from far far away, from a country called Australia That’s what she asked for, the man from far far away and God chose for her a man from down under Australia. She wanted someone from a different culture, not like the one she grow up with. She wanted to give her children a fair chance in life, to choose what they want to be and to have an opportunity to go anywhere they wanted. She had a big dream, way too big for her life at that time because she was born from an under-privileged family and country. But she did’t let that stop her from her dreams and beliefs, because she wanted her children to have a different story.Today she’s a very happy mother of 2 amazing kids Amani & Malaika. She gave them one of the best fathers in the world. And gave herself one of the best husbands that most women dreamed about :) All this started with word of PRAYER.That young woman is the one who sitting down today in this magnificent 7 stars hotel with incredible view from her room, celebrating her life.I thank The Lord Jesus every day of my life for sending me this wonderful, good hearted and humble man. Without him I wouldn’t be who I am today. I’m GRATEFUL! Happy 10th wedding anniversary my Honey. Thank you for everything. I love you and will continue to do so everyday of my life

Our 10th wedding anniversary at Burj Al Arab hotel, Dubai

baba na mama Amika
baba na mama Amika

OMG! Hii hotel kweli ni 7 Star hotel maana kila kitu Gold lol! Katika kutembea kwangu kote sijawahi ona hotel kama hii yaani hapa ni the top. Huduma yao pia ni kiboko, nadhani picha zinajieleza zenyewe. Uwezi amini nilipewa mpaka 21 carat gold Ipad kutumia nikiwa hapo hotelini :) Room yetu ilikua hatari.

Hubby and I in Dubai for 1st time without kids-Celebrate our 10th wedding anniversary 2014

Selfie with hubby

Wakati mwingine siamini eti karibu miaka 13 imepita tangu nikutane na baba Amika. Ingawa tumepitia mambo mengi kwa raha na shida lakini bado tuko na furaha ya ajabu. Namshukuru mungu kwa kila jambo. Siku ya kwanza tulifikia The Address Hotel at Dubai Mall, ili mama apate nafasi ya kufanya shopping. Am I lucky woman or what? I guess I am. Happy me :)